PROMOVER TV
PROMOVER TV
  • Видео 401
  • Просмотров 2 350 039
Sunday Service at Kwiwale Sirari Tarime Mara Tanzania|JengaMakanisa na #promovertv
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1lDtufLd2LPIP
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak5W0jXI0M1eX
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Ms...
Просмотров: 176

Видео

Video:Siku hiyo atakayokuja Yesu Kristo itakavyokuwa•Na hukumu itakavotolewa kwa kila nafsi
Просмотров 799День назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA K...
#MaombiMfululizo UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA |4hrs NonStop | Mch.Amiel Katekela
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA K...
Nilipoamua kuokoka wakristo walikataa kuniongoza sala ya toba|Ushuhuda wa Shehe Omary Mnyeshani
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :- 1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhMAQyWuwVYa9x 2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza l...
Sikia jinsi watoto wa Burundi wanavyoanzishwa kwenye uchawi mbaya wa Karashika
Просмотров 359Месяц назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :- 1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhMAQyWuwVYa9x 2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza l...
TAFSIRI YA NDOTO UKIOTA MTOTO AU WATOTO|INA MAANA KUBWA KIROHO YA KUZINGATIA|Mch.Amiel Katekela
Просмотров 9 тыс.Месяц назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA K...
Kinachosababisha laana ya ardhi pamoja na mambo kwenda mrama japokuwa umeokoka|Mch.Katekela
Просмотров 1,9 тыс.Месяц назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA K...
Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela
Просмотров 22 тыс.2 месяца назад
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4BKUoBsh0eBZ PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA K...
3_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
Просмотров 3692 месяца назад
3_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
2_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
Просмотров 6142 месяца назад
2_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
Mch.Katekela:"Kwa sasa kuna manabii wengi wa mchongo kuwa makini|Sifa za manabii wakweli ni hizi"
Просмотров 10 тыс.2 месяца назад
Mch.Katekela:"Kwa sasa kuna manabii wengi wa mchongo kuwa makini|Sifa za manabii wakweli ni hizi"
1_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
Просмотров 1,1 тыс.2 месяца назад
1_Ushuhuda wa Nabii Selina Ramoos alivotokewa na Yesu mara 6"Jiandae Yesu anakuja kulichukua kanisa"
Ujumbe mzito wa mtumishi muimbaji Ambwene Mwasongwe kwa kanisa na taifa "Tupo nyakati hatari sana"
Просмотров 1,3 тыс.2 месяца назад
Ujumbe mzito wa mtumishi muimbaji Ambwene Mwasongwe kwa kanisa na taifa "Tupo nyakati hatari sana"
Samson Sungwana aliyekuwa jambazi baunsa wa kukodiwa,sasa ameokoka
Просмотров 6712 месяца назад
Samson Sungwana aliyekuwa jambazi baunsa wa kukodiwa,sasa ameokoka
Hili ndilo kanisa letu,mvua ikinyesha hakuna ibada,tukiondoka watu wanajisaidia ndani|Mch.Mihalalo
Просмотров 4103 месяца назад
Hili ndilo kanisa letu,mvua ikinyesha hakuna ibada,tukiondoka watu wanajisaidia ndani|Mch.Mihalalo
Changamoto za wachungaji:"Nilimwombea mwanamke mgonjwa alipopona akaniangusha mimi dhambini"
Просмотров 8814 месяца назад
Changamoto za wachungaji:"Nilimwombea mwanamke mgonjwa alipopona akaniangusha mimi dhambini"
Aina 4 za mauti toka kwa Mungu na mauti ya shetani(vifo vya uongo)|Nabii Aston Mbaya
Просмотров 2,5 тыс.4 месяца назад
Aina 4 za mauti toka kwa Mungu na mauti ya shetani(vifo vya uongo)|Nabii Aston Mbaya
Nilivyonusurika kuingizwa katika mtandao wa manabii wa uongo wa Freemason
Просмотров 1,1 тыс.4 месяца назад
Nilivyonusurika kuingizwa katika mtandao wa manabii wa uongo wa Freemason
shetani anawezaje kumtumia mtu kupitia ndoto|Vita vya kiroho ni nini|Kuishi chini ya neema ni nini!?
Просмотров 8 тыс.5 месяцев назад
shetani anawezaje kumtumia mtu kupitia ndoto|Vita vya kiroho ni nini|Kuishi chini ya neema ni nini!?
Ushuhuda wa binti aliyekutana na Yesu ktk mazingara magumu ya kazi za ndani Oman"Niliishi na majini"
Просмотров 3,3 тыс.5 месяцев назад
Ushuhuda wa binti aliyekutana na Yesu ktk mazingara magumu ya kazi za ndani Oman"Niliishi na majini"
Nilizaa mtoto wa ajabu ana meno manne•Mungu alituponya Ukimwi kimujiza|Ushuhuda wa Sara Mwakindu
Просмотров 1,2 тыс.5 месяцев назад
Nilizaa mtoto wa ajabu ana meno manne•Mungu alituponya Ukimwi kimujiza|Ushuhuda wa Sara Mwakindu
Nilirudi nyuma kiimani sababu ya mchungaji, lakini kumbe nilikosea yakanikuta mazito|Ev.Petro Alex
Просмотров 1,4 тыс.5 месяцев назад
Nilirudi nyuma kiimani sababu ya mchungaji, lakini kumbe nilikosea yakanikuta mazito|Ev.Petro Alex
Unabii:Yatakayojiri 2024•Ni Mwaka wa Mapigo•Nabii Ester Samwel
Просмотров 2,9 тыс.5 месяцев назад
Unabii:Yatakayojiri 2024•Ni Mwaka wa Mapigo•Nabii Ester Samwel
Udhaifu wa imani | Kinachosababisha waamini kuishi na hofu na mashaka|Mch.Amiel Katekela
Просмотров 8 тыс.6 месяцев назад
Udhaifu wa imani | Kinachosababisha waamini kuishi na hofu na mashaka|Mch.Amiel Katekela
Jinsi ya kuwatofautisha wachungaji wa kweli na wa uongo|Mch.Amiel Katekella
Просмотров 6 тыс.6 месяцев назад
Jinsi ya kuwatofautisha wachungaji wa kweli na wa uongo|Mch.Amiel Katekella
Kutana na Mch.Silas Salamba aliyepata kazi ya ujambazi akiwa gereza chini ya jambazi sugu Jaco Pio
Просмотров 5456 месяцев назад
Kutana na Mch.Silas Salamba aliyepata kazi ya ujambazi akiwa gereza chini ya jambazi sugu Jaco Pio
Jinsi Mch.Katekela alivyookoka kutoka kwa Uchawi na Freemason•Ushauri wake kwa waliokuwa kama yeye
Просмотров 12 тыс.6 месяцев назад
Jinsi Mch.Katekela alivyookoka kutoka kwa Uchawi na Freemason•Ushauri wake kwa waliokuwa kama yeye
Niliombea watu wawili waliokufa wakafufuka na 18 wenye Ukimwi wakapona:Mchungaji wa Eagt Mwanza Tz
Просмотров 8726 месяцев назад
Niliombea watu wawili waliokufa wakafufuka na 18 wenye Ukimwi wakapona:Mchungaji wa Eagt Mwanza Tz
Nilibakwa na mchawi nikazaa mtoto aliyetakiwa kutolewa kafara lakini Yesu akatuokoa kimiujiza
Просмотров 1,7 тыс.7 месяцев назад
Nilibakwa na mchawi nikazaa mtoto aliyetakiwa kutolewa kafara lakini Yesu akatuokoa kimiujiza
Mizimu ipo na inawatesa hata waliokoka,nilikuwa kamchape mchawi nafahamu|Ushuhuda wa Mch.Fedrick Mna
Просмотров 11 тыс.7 месяцев назад
Mizimu ipo na inawatesa hata waliokoka,nilikuwa kamchape mchawi nafahamu|Ushuhuda wa Mch.Fedrick Mna

Комментарии

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI День назад

    Jamanih!! mchungaji nakupenda sana kwa mfundisho yako lakini mbona unanikwaza. baba yangu wa kiroho Niclausi Suguye amenitoa mbali sana nilikuwa mwenye thambi baba wa watu amenifundisha neno la rohoni mpaka nimeokoka na kubatizwa hata wana wa israeli walimwita MUNGU wa Elya kwani kuna tatizo Maana ni MNGU mwenyewe anamtumia mtumishi wake. Jamani pendaneni na kama mnamuona mwenzenu anakosea basi itaneni kwenye vikao vya siri muonyane sio kuwafaidisha wale ambao sio wakirsto.

  • @Mwesige-s8q
    @Mwesige-s8q День назад

    😢😢

  • @KabnasNyangi
    @KabnasNyangi 2 дня назад

    Ubarikiwe sana ni leo tu nimetoka kuhubiri habari za Naboth na Mfalme Ahabu Naboth alikataa kubadilishiwa urithi wake wa shamba la mizabibu

  • @KabnasNyangi
    @KabnasNyangi 2 дня назад

    Unasema vema mtumishi 6:33

  • @nisilas7411
    @nisilas7411 3 дня назад

    Wachawi wanacho kibarua

  • @user-ql3le2ve9g
    @user-ql3le2ve9g 4 дня назад

    nahitaji msaada

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 4 дня назад

    Ubarkiwe mtumishi wa Mungu 🙏🤝🤝

  • @eldkibeh
    @eldkibeh 5 дней назад

    Promover,tunaomba tafadhali muruhusu wakristo wengine pia warekodi shuhuda hizi zinapotolewa kanisani au kwenye krusedi,mfano shuhuda zingine mumeposti zimeanzia katikati,zimekosa sehemu zingine au hata kuipoteza mzima mfano huko mombasa Kenya kwenye kanisa moja. Msiogope eti mta shtumiwa na watu wenye video zingine,hapana,vita ni vya Bwana yeye atamtetea mtumishi wake mfano Amieli katekela. Shuhuda inapokosa sehemu zingine hiyo ina madhara makubwa kwenye ulimwengu wa rohoni kuliko zile shutuma za wale wabishi. Hata hivyo,hongera kwa kazi nzuri.Asanti

  • @bossej1212
    @bossej1212 6 дней назад

    Naona wachawi wanaumwa. Mtumishi anatoboa siri zao kupitia huu ushuhuda . Kwa maana imeandikwa And they shall defeat him( shetani) by the blood of the lamb( Yesu) and the word of their testimony. Kupitia ushuhuda huu na damu ya Yesu tayari shetani anaona cha mtema kuni. Wachawi na maejenti wake lazima wakasirike

  • @bossej1212
    @bossej1212 7 дней назад

    Mungu akubariki na akupe neema zaidi ili uzidi kutufunulia siri za ufalme wa giza ili tuwe imara kwa imani yetu kwa Mungu na mwanawe Yesu kristo

  • @jacquejoey4121
    @jacquejoey4121 7 дней назад

    Namshukuru mungu kwa kunileta mali hapa from listening to erica,james,gabriel and now this! God indeed doesn't want us to perish in our sinful ways but wants us to come into repentance ezekiel 18:23 dear viewers the time is limited let us all give our lives to Jesus.

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl 7 дней назад

    Amenaaa

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl 7 дней назад

    Kama ha nanamba yeye atume na mbazamtu wakaribuyake kweli tumchangiye ile Mungu atasaidiya jameni

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl 7 дней назад

    Kweli ni meguswa uwekenamba yako hapa tuone chakufanya

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 8 дней назад

    Najisikia raha ya ajabu ninaposikiliza haya mahubiri

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 8 дней назад

    Mhh njili hii ni ya moto hakika mungu amejisazia manabii wasio mpgia baali magot barikiwa sana mtumishi katekela

  • @RosinaEmmanuel-jb3jc
    @RosinaEmmanuel-jb3jc 8 дней назад

    Nawapata Watumishi wa Mungu Mungu awabari.

  • @CatherineMassawe-pb2jd
    @CatherineMassawe-pb2jd 8 дней назад

    Duh

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 8 дней назад

    Mpaka baba yako ume

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 8 дней назад

    Wewe mnafiki njaa itakuumbua

  • @EmanuelyShupa
    @EmanuelyShupa 8 дней назад

    Daaàa!! Jaman tumtafute mungu Kwa bidii wapendw

  • @Lukasngulujose
    @Lukasngulujose 9 дней назад

    Kiongozi HP umemalia kila kitu sema mtumishi

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 11 дней назад

    Piga kazi mtu wa Mungu, Huwa natafuta sana Mahubiri yako Mnyeshani

  • @pastormargaretnyambane
    @pastormargaretnyambane 11 дней назад

    Amen! Mungu aendelee kuinuliwa

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 11 дней назад

    Amina Amina, kweli siku zinatimia

  • @asiimweperfect7053
    @asiimweperfect7053 11 дней назад

    Amina

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 11 дней назад

    Mtumishi wa MUNGU mbona hayo yote yamenipta mpaka nimeacha kulima nyumbani.. nimemwachia mama yangu mzazi shamba nae pia nayapitia hayo hayo tu. Nitashukuru sana sana MUNGU wa mbinguni akutie nguvu

  • @user-dz9cn1gw2j
    @user-dz9cn1gw2j 12 дней назад

    Sa huo uwongo ndo tuokoke au sa washangae nin?

  • @joelegbert4343
    @joelegbert4343 13 дней назад

    Mungu akubariki na aendelee kukubariki. Tutakusaidia dada usimwache YESU! Isaya 41:10-13 God is with you, and will never leave you. Jesus is the only way to our God.

  • @SifaMponzi
    @SifaMponzi 14 дней назад

    Aise nabadirika

  • @godlovesanga4693
    @godlovesanga4693 15 дней назад

    Unasema wewe ndiye uliyeokoka je? ulibatizwa sawa na Mdo.2:38,Mdo.19:1-6? Nk.

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 15 дней назад

    Kazi ya Mungu ni nzito kweri Mungu akutiye nguvu ila Pana siku itakuinua

  • @TeclaEstevao
    @TeclaEstevao 17 дней назад

    Mungu saída mume wangu

  • @aidanibrahim5034
    @aidanibrahim5034 17 дней назад

    Wambie

  • @lilmissbutterfly6445
    @lilmissbutterfly6445 18 дней назад

    Huu uchonganishi sasa, kuna vitu anaongea ni uwongo kabisa duuh

  • @lilmissbutterfly6445
    @lilmissbutterfly6445 18 дней назад

    Huu uwongo sasa

  • @aframhenga8705
    @aframhenga8705 19 дней назад

    Mungu niguse niponyee

  • @Karen-o6e
    @Karen-o6e 19 дней назад

    Promover tv na mchg. Amiel Katekela asante sana yaani mnanifungua sana ktk eneo la ndoto. Mungu awatunze sana

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 21 день назад

    Ushuhuda wakonaupenda pia umenitoa sehem kwenda nyingine

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg 21 день назад

    Ubarkiwemtumishi

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b 21 день назад

    Kila mtu akiwa hana pesa anafungua kanisa baada muda ana nyumba na gari zuri na waumini hawana hata kibanda huu ni utapeli tanzania mmezidi kudanganya watu,kila mtu nabii kila mtu mchungaji.

  • @peterthadeo2375
    @peterthadeo2375 21 день назад

    Amina

  • @peterthadeo2375
    @peterthadeo2375 21 день назад

    Nakubali kwa jina la yes kristo ,pia damu ya YESU kristo inifunike Amina nawengine pia

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 22 дня назад

    Asante Mungu Kwa kunineemisha kuskia mafundisho haya

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 22 дня назад

    Mimi napata miayo na machozi yananitoka na hapo hapo napatwa na usingizi yesu kristo niokowe na hao pepo wa chafu

  • @barnabaabel9522
    @barnabaabel9522 23 дня назад

    Kama hivyo Mungu angewaonyesha wengine mwaka huohuo maana kwa vinywa vya mashahidi watatu jambo linadhibitika.

  • @barnabaabel9522
    @barnabaabel9522 23 дня назад

    Kwa hapa mzee amechemka bila shaka ni mzee Sana huyo. Wanaotaga ndoto tu hawawazee wetu.

  • @user-lq4mq7rz6h
    @user-lq4mq7rz6h 23 дня назад

    Kwa Yesu raha sana kapendezaa sana

  • @eliaorgenes676
    @eliaorgenes676 24 дня назад

    Yesu ni mbabe akamuokoa jamaa kutoka huko mbali kote .Yesu mi Bwana mfalme mkuu.

  • @AnnaGwaltu
    @AnnaGwaltu 25 дней назад

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu umeletwa kwa wakati sahihi